Mkurugezi Mkuu wa bodi ya bahati
nasibu Tanzania,Abasi Tarimba akisimamia uteketezaji wa mashine za
kuchezesha bahati nasibu ambazo zimeingizwa nchini bila kufuata
utaratibu ambazo zimeletwa na kufungwa maeneo ya ostabay zikitokea
nchini urusi ambapo nchi ya urusi imepiga marufuku mchezo wa bahati
nasibu.mashine hizo zilikuwa 80 zenye thamani ya shilingi milioni 300 za
kitanzania.
Mashine hizo zikiteketezwa kwa kukanyagwa na Katapila.
Post a Comment