Sports& Entertainment

Boko aomba radhi

MSHAMBULIAJI wa Azam na Taifa Stars, John Boko amesema hakuwa na bahati ya kufunga katika mchezo dhidi ya Msumbiji na amewaomba radhi mashabiki na kudai ni makosa ya kibinadamu na humkuta mchezaji yeyote duniani.

Kutokana na kukosa nafasi nyingi kwenye mchezo huo kinara huyo wa ufungaji wa Ligi Kuu aligeuka gumzo miongoni mwa watazamaji waliofika kushuhudia pambano hilo juzi.

Akizungumza mara baada ya mchezo huo Boko alisema ni wazi alipoteza nafasi nyingi za kufunga alizopata, lakini lazima mashabiki wafahamu makosa ni sehemu ya mchezo.

"Ni makosa ya kawaida sana kukosa goli hata nchi za wenzetu hali ni kama hii, nimekosa magoli ya wazi nakubali, lakini mashabiki wasione huu ni mwisho bado tunaweza kushinda na kusonga mbele katika mashindano hayo," alisema Boko.





Who is a Big/great Player?

Sport & acedemic blog is seeking for different opinions from different great football fans about who is real a great player. What it takes to be called a great and a big player,,,.

According to Arsenal Manager,, Arsene Wenger,,,

“When you look at great players, they are on the move and everybody else stands and watches the ball. That is the difference. They look like they attack the ball all the time but in fact it is because they anticipate a lot and they are a little bit ahead of the other players.

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger