BBC-Swahili

Sample Text

Habari

Labels

Labels

Social Icons

About Me

My photo
I would like to welcome all the interested people to join the blog and together we help each other to reach our goals.

Featured Posts

Designed by Edservant. Powered by Blogger.

Sample Text

Latest Post

RAIS KIKWETE AFANYA UFUNGUZI WA MKUTANO WA SMART PARTNERSHIP JIJINI DAR

Written By Koka Albert on Saturday, June 29, 2013 | 3:24 AM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na vijana wa umri wa CPTM 29ers waliohudhuria mkutano wa Smart Partneship Dialogue 2013 wakati wa ufunguzi rasmi wa mkuatno huo unaoshirikisha watu zaidi ya 800 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre jijini Dar es salaam Ijumaa Juni 28, 2013
Rais Kikwete na viongozi mbalimbali wa nchi za Afrika wakishiriki katika mijadala na vijana wa CPTM 29ers 
Viongozi mbalimbali wa nchi za Afrika wakishiriki katika mijadala na vijana wa CPTM 29ers 
Mjadala ukiendelea
Rais wa Sri Lanka akishiriki mjadala na vijana wa CPTM 29ers
Rais Omar Bongo katika mjadala huo
Kijana akichangia
Vijana wakichangia mjadala
Rais Mstaafu Mhe Benjamin Mkapa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Joachim Chissano katika mjadala
Kijana akichangia katika mjadala
Rais wa Sri Lanka na Dkt Mihaela Smith wakifuatilia mjadala
Rais Kikwete akipiga ngoma kuashiria mwisho wa mjadala wa viongozi na vijana
Rais Kikwete akipiga ngoma kuashiria mwisho wa mjadala wa viongozi na vijana
Rais Kikwete akisalimiana na vijana hao
Wanahabari wa ndani na nje ya nchi wakirekodi tukio hilo la kihistoria
Wageni mbalimbali katika mkutano huo
Ujumbe wa Swaziland
Ujumbe wa Tanzania
Meza kuu
Meza kuu
Vijana nwa THT wakitumbuiza
Viongozi mbalimbali
THT wakitumbuiza
Meza kuu wakifurahia onesho la THT
Wanafunzi wakiimba kwa furaha
Meza kuu wakishangilia
Sehemu ya wageni.Picha Na IKULU

SEHEMU YA UJIO WA OBAMA ITAKAVYO KUWA KATIKA ANGA YA TANZANIA NA DAR ES SALAAM ITAKUWA HIVYO

Ndege maalum ya kivita itasindikiza Air Force One ya Rais Bar
ack ObamaWalinzi wa rais Obama kama wanavyoonekana

MSAFARA wa Ndege ya Rais wa Marekani Barack Obama, yawezekana ndiyo msafara uliowai kupata ulinzi mkali kuliko zote.
Air Force One ambayo ndiyo ndege inayotumiwa na marais wote wa marekani,ndege hii ulindwa kwa asilimia mia moja.

Hata hivyo ulinzi wa ndege hii wakati wa utawala wa Rais Obama imekuwa tofauti baada ya kuongezewa ulinzi kuliko hata ilivyokuwa kwa mtangulizi wake George Bush.

Wakati wa Bush ndege hii ilikuwa inalindwa na ndege za kivita 10 lakini katika utawala wa Obama ndege hii inalindwa na ndege za kivita 15,wakati wote ikiwa angani.

AIR Force One hutembea katikati ya ndege sita za kijeshi,juu ya ndege ya Rais huwa kuna ndege mbili za kivita,chini ya ndege hiyo kuna ndege mbili, mbele ya ndege hiyo kuna ndege moja na nyuma kuna ndege moja.

Umbali wa kilomita 300 baada ya ndege ya Rais Obama kupita kuna kuwa na ndege mbili za kivita zenye mwendo kasi, kabla ya ndege ya Rais kupita kuna kuwa na ndege tisa zinazokwenda kwa mwendo kasi na sambamba kwa umbali wa kilomita zaidi ya 500.

RAIA WA AFRIKA KUSINI WAJITOKEZA KATIKA MAANDAMANO YA AMANI YA KUPINGA UJIO WA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

Waandamaji wa Nchini Afrika Kusini wakiwa wanasali mbele ya Ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano ya kupinga kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo jana  wakati Raisi Obama alipotua Nchini Humo Kwa Ziara ya Siku 2.

Waandamanaji Nchini Afrika Kusini wakiwa wamebeba mabango yanayopinga kuja Kwa Raisi Obama nchini Humo wakati wa maandamano ya Amani ya Kupinga Kuja Kwa Obama Katika Jiji la Pretoria Nchini Afrika  jana Jioni - Juni 28
 Waandamanaji Nchini Afrika Kusini Wakisali mbele ya Bango linalopinga Kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo wakati Raisi Obama alipotua Nchini Afrika Kusini Jioni ya jana  Juni 28. 
Mmoja wa waandamaji nchini Afrika Kusini ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja akiwa amebeba moja ya Bango ambalo Linamwita Raisi OBAMA kuwa ni Mpishi wa Ikulu ya Marekani kama linavyosomekana na kuendelea kuelezea kuwa sera za Marekani ni tatizo.Mwandamaji huyu alibeba bango hilo jana  Juni 28 wakati wa maandamo ya amani kuelekea mbele ya Ubalozi wa Marekani NChini humo kwa kupinga Kuja Kwa OBAMA Nchini Mwao.Picha Zote na REUTERS/AFP
Source:Mpekuzi blog 

MSANII LADY JAYDEE AANZISHA BIFU JIPYA NA FAtuma.

Written By Koka Albert on Saturday, June 22, 2013 | 8:41 AM

msanii wa kizazi kipya Lady Jadee akiwa ameweka pozi huku akitafakari jambo, msanii huyu ameanzisha bifu na Fatuma lakini bado hajaweka wazi Fatuma huyu ni yupi. 

Fuatilia hapa chini Jaydee anamweleza lakini kwa mafumbo, na wenye kujua watajua na wale mwenzangu na mimi tutaabaki bila jibu.












KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
">See all videos'); document.write('

?max-results=8">Video Category
'); document.write("
?max-results="+numposts3+"&orderby=published&alt=json-in-script&callback=showrecentposts4\"><\/script>");
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger