BBC-Swahili

Sample Text

Habari

Labels

Labels

Social Icons

About Me

My photo
I would like to welcome all the interested people to join the blog and together we help each other to reach our goals.

Featured Posts

Designed by Edservant. Powered by Blogger.

Sample Text

Latest Post

JOB OPPORTUNITIES FOR RECENT GRADUANTS: ACCESS BANK EXCITING CAREER OPPORTUNITIES IN MWANZA

Written By Koka Albert on Tuesday, September 18, 2012 | 1:25 AM

AccessBank Tanzania is a full commercial bank providing micro, small and medium sized enterprises (MSMEs) with a broad range of appropriate financial services. Established in 2007, the bank is owned by a multinational shareholder group and member of an emerging global network of commercial microfinance banks (The "Access Group") with headquarters in Berlin/Germany.
As one of the fastest-growing bank in Tanzania, Accessbank is now opening soon a branch in Mwanza City, we offer excellent long-term career development opportunities for recent and fresh graduates and young professionals. In order to support our dynamic expansion process, we are looking forward to recruit a number of self-motivated and enthusiastic individuals to join our teams in our new branches in Mwanza.
FIELD OFFICERS
       Responsibilities:
  • Marketing and attracting potential business loan clients
  • Conducting on-site and risk assessment of loan applicants
  • Loan monitoring and recovery
Interested candidates must be ready to work extensively outside the office. If you prefer desk-based job, please look out for other vacancies advertised by the Bank from time to time.
       Qualifications and Experience:
  • Education: Graduate or Diploma holder
  • Experience: No prior work experience required
CLIENT ADVISOR
       Responsibilities:
  • Marketing and attracting potential clients for banking accounts and saving products
  • Opening closing, and maintaining different types of customers accounts
  • Dealing with cheques and money transfers
       Qualifications and Experince:
  • Education: Graduate or Diploma holder
  • Experince: No prior work experience required
CASHIERS:
       Responsibilities:
  • Cash deposit and withdrawal transactions (local and foraign currency)
  • Management and full responsibility of the daily cash box
       Qualifications and Experience:
  • Education: Diploma Holder or good form Six
  • Experince: No prior work experience required
Please send your CV ONLY by email to career@accessbank.co.tz DO NOT send CV more than once. Please refrain from sending any attachment via the website. Certificates and other relevant documents will only be required during the interview. The deadline for sending CVs is 1st October, 2012.

Waziri Nchimbi atimuliwa na waandishi wa habari

Written By Koka Albert on Tuesday, September 11, 2012 | 6:52 AM

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi, amekumbana na fadhaa ambayo haikutarajia wakati alipotimuliwa katika maandamano ya waandishi wa habari ya kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao wa kituo cha televisheni cha Channel Ten, David Mwangosi, wakati alipozuka bila mwaliko.

Huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe tofauti, waandishi waliandamana kuanzia kwenye ofisi za Channel Ten katikati ya jiji la Dar es Salaam na kutembea hadi katika viwanja vya Jangawani lakini walipofika mwisho wa maandamano yao walipigwa na butwaa baada ya kumkuta Waziri Nchimbi akiwa wa kwanza kufika katika eneo hilo tayari kupokea maandamano.

Wakati Nchimbi akijiandaa kuanza kuzungumza mbele ya wanahabari, upinzani mkali ukazuka kwa waandishi dhidi ya kiongozi huyo wa serikali wakitaka aondoke mahala hapo kwani maandamano hayo yalikuwa hayamuhusu.

"Atokee.... aondokee.... hatumtakiiii.... nani kamleta hapa?" yalikuwa ni baadhi ya maneo yaliyokuwa wakitolewa kwa sauti kubwa kupinga uwapo wa waziri Nchimbi mahala hapo.

Huku akizomewa, Waziri Nchimbi alijaribu kuvumilia aibu hiyo kwa takriban dakika tano huku pengine akitumai kwamba watamruhusu kuzungumza kilichompeleka mahala hapo.

Mwandishi wa habari mkongwe, ambaye pia ni mwanasheria, Nyaronyo Kicheere, alisogea mbele ya umati wa waandishi na kusimama jirani na alipokuwapo waziri Nchimbi na kusema: "Tumeambiwa tunakuja hapa kwa ajili ya mkutano wa waandishi wa habari na utapokewa na jukwaa la wahariri, inakuwaje tupokewe na mtu mwingine. Hatumhitaji mtu mwingine hapa, aondoke."

Baada ya kauli hiyo, waziri Nchimbi aliondoka mahala hapo na kuzua shangwe kubwa kwa waandishi ambao pia walimsindikiza kwa kumzomea mpaka alipoingia katika gari lake la wizara. Hakuja na gari lake la waziri.

Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari walizungumza na kukemea mauaji hayo na bila ya kuuma-uma maneno walisema kwamba Mwangosi aliuawa kwa kulipuliwa na polisi na kwamba waliohusika wote wachukuliwe hatua za kisheria.

"Waandishi na wafanyakazi wengine wanalipa kodi ilipolisi wapate magwanda, wapate bunduki, wapate mabuti na wanalipwa ili walinde raia na sio kuua raia, vitendo kama hivi havikubaliki," alisema Jesse Kwayu, mhariri mkuu wa gazeti la NIPASHE.

Mwandishi mkongwe, Masoud Sanani, aliongeza: "Waarabu wanasema 'wal kiswaswa haq' yaani 'kisasi ni haki', lakini sisi kwa busara tunasema kwamba hatuna kisasi ila tunataka mambo haya yawe mwisho, waandishi waachwe wafanye kazi zao kama askari wanavyoachwa wafanye kazi zao."

"Tumeshasikia askari akitingishwa kidogo, mtu anashitakiwa kwa kumzuia askari kufanya kazi yake, tunataka waandishi nao waachwe wafanye kazi yao," alisema.

Waandishi walitaka familia ya marehemu Mwangosi ilelewe na watoto wasomeshwe mpaka watakapofikia.

Miongoni mwa mabango yaliyokuwapo katika maandamano hayo yalisomeka: "Bunduki na mabomu hayatazuia kalamu zetu kuandika ukweli," "Hatuogopi vitu vizito wala vitu vya

IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU DAUDI MWANGOSI YAFANYIKA ITETE, TUKUYU MKOANI MBEYA

Written By Koka Albert on Tuesday, September 4, 2012 | 5:59 PM

 
Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akilia kwa uchungu.
 
Maelfu ya  watu wakiongezeka kuja katika Mazishi ya mwandishi wa habari wa Channel 10 Daudi Mwangosi muda huu.
  
Mheshimiwa Mark Mwandosya ambaye ni Waziri ofisi ya Rais na pia Mbunge wa Rungwe Mashariki akitoa salamu kwa niaba ya Serikali.
 
Watu wakiwa wengi na wenye utulivu wakisikiliza watu mbalimbali wakitoa salam zao kwa ndugu wa Marehemu.
 Mjane wa Marehemu Daudi Mwangosi aliyejishika, akiwa na uchungu muda huu.
Ibada ikiwa inakaribia kuanza.
 Ibada ya mazishi ndio imeanza muda huu.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa wenye majonzi makubwa.
Waandishi wa Habari wakiwa katika msiba wa kwanza kutoka kulia ni Ndugu Joseph Mwaisango ambaye ni mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Blog, Rais wa UTPC Keny Simabaya, pamoja na Felix Mwakyembe .

R.I.P MWANGOSI
KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger