Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mratibu wa Maonyesho
ya VICOBA Tanzania,Aldo Mfinde wakati alipokuwa akiwasili kwenye
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar tayari kwa Uzinduzi rasmi wa
maonyesho ya VICOBA Tanzania.Wa pili Kulia ni Naibu Waziri wa Kazi na
Ajira,Mh. Makongoro Mahanga na Kulia ni Mwenyekiti wa CCM,Wilaya ya
Ilala,Mh Assaa Simba.
Mratibu wa Maonyesho ya VICOBA
Tanzania,Aldo Mfinde akizungumza machache wakati wa hafla ya Uzinduzi wa
Maonyesho ya Miaka Kumi ya Wafanya biashara ndogo ndogo na
Wajasiliamali wa VICOBA uliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja
jijini Dar es Salaam.wa Tatu kulia ni Mgeni Rasmi katika uzinduzi
huo,Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward
Lowassa.Wengine ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Makongoro Mahanga
(pili kulia) na Mwenyekiti wa CCM,Wilaya ya Ilala,Mh Assaa Simba.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kulia) akimpongeza Mratibu wa
Maonyesho ya VICOBA Tanzania,Aldo Mfinde mara baada ya kumaliza
kuitambulisha Kamati ya VICOBA Tanzania iliokuwepo viwanjani hapo.
Burudani ya Ngoma za Asili.
Mjumbe wa Kamati ya VICOBA
Tanzania,Bi. Magreth Mapunda akisoma Risala ya Chama chao hicho mbele ya
Mgeni Rasmi,Mh. Edward Lowassa wakati wa hafla ya Uzinduzi rasmi wa
Maonyesho ya Miaka Kumi ya Wafanyabiashara ndogo ndogo na Wajasiliamali
wa VICOBA uliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar
es Salaam jana.
Mjumbe wa Kamati ya VICOBA Tanzania,Bi. Magreth Mapunda (kushoto) akikabidhi Risala hiyo kwa Mgeni Rasmi,Mh. Edward Lowassa.
Mwenyekiti wa CCM,Wilaya ya Ilala,Mh Assaa Simba akisalimia Wanachama wa VICOBA Tanzania.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh.
Makongoro Mahanga akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi
kuzungumza na Wanachama wa VICOBA.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akitoa hotuba yake mbele ya
wanachama wa VICOBA Tanzania wakati hafla ya Uzinduzi wa Maonyesho ya
Miaka Kumi ya Wafanya biashara ndogo ndogo na Wajasiliamali wa VICOBA
uliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam jana
.Katika Hobuba yake,Mh. Lowassa aliwapongeza wana VICOBA kwa kuweza
kujiajiri,kwani tatizo la ajira nchini bado ni tatizo kubwa na ni bomu
linaweza kulipuka wakati wowote.Maonyesho hayo yataendelea mpaka
jumamosi ijayo Oktoba 27.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akiteta jambo na Naibu
Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Makongoro Mahanga.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akicheza muziki sambamba na
Wanachama wa VICOBA Tanzania wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Biashara
ya Miaka Kumi yam Wajasilia Mali wa VICOBA tangu kuanzishwa
kwakwe,iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akibonyeza kitufe kwenye kompyuta
ikiwa ni ishara ya Uzinduzi rasmi wa Maonyesho ya Miaka Kumi ya Wafanya
biashara ndogo ndogo na Wajasiliamali wa VICOBA uliyofanyika kwenye
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono Wanachama wa
VICOBA wakati wa kuwaaga mara baada ya kufanya uzinduzi wa Maonyesho ya
Miaka Kumi ya Wafanya biashara ndogo ndogo na Wajasiliamali wa VICOBA
uliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiagana na baadhi ya Wanachama wa
VICOBA mara baada ya uzinduzi wa Maonyesho ya Miaka Kumi ya Wafanya
biashara ndogo ndogo na Wajasilia mali wa VICOBA uliyofanyika kwenye
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiagana na Naibu Waziri wa Kazi na
Ajira,Mh. Makongoro Mahanga.
Wanachama wa VICOBA wakijiburudisha kwa kucheza Muziki.
Maandamano ya Wanachama na
Wajasiliamali wa VICOBA yakipita Mbele ya Mgeni Rasmi,ambaye ni Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa.