Home » » NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI ADAMU MALIMA AIBIWA HOTELINI MJINI MORO

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI ADAMU MALIMA AIBIWA HOTELINI MJINI MORO

Written By Koka Albert on Friday, March 9, 2012 | 9:51 PM


Hoteli ya kitalii ya Nashera alipokuwa Mhe. Malima.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adamu Kighoma Malima ameibiwa vitu vyake alivyokuwa navyo vianavyokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya sh. milioni 15 katika hoteli ya kitalii ya Nashera ya mjini Morogoro.
Taarifa za kipolisi zilizopatikana kutoka mjini hapo zimethibitisha kutokea wizi huo zikisema ulitokea usiku wa kuamkia leo ndani ya hoteli hiyo aliyokuwa amefikia katika ziara yake mkoani hapa.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger