Home » » IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU DAUDI MWANGOSI YAFANYIKA ITETE, TUKUYU MKOANI MBEYA

IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU DAUDI MWANGOSI YAFANYIKA ITETE, TUKUYU MKOANI MBEYA

Written By Koka Albert on Tuesday, September 4, 2012 | 5:59 PM

 
Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akilia kwa uchungu.
 
Maelfu ya  watu wakiongezeka kuja katika Mazishi ya mwandishi wa habari wa Channel 10 Daudi Mwangosi muda huu.
  
Mheshimiwa Mark Mwandosya ambaye ni Waziri ofisi ya Rais na pia Mbunge wa Rungwe Mashariki akitoa salamu kwa niaba ya Serikali.
 
Watu wakiwa wengi na wenye utulivu wakisikiliza watu mbalimbali wakitoa salam zao kwa ndugu wa Marehemu.
 Mjane wa Marehemu Daudi Mwangosi aliyejishika, akiwa na uchungu muda huu.
Ibada ikiwa inakaribia kuanza.
 Ibada ya mazishi ndio imeanza muda huu.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa wenye majonzi makubwa.
Waandishi wa Habari wakiwa katika msiba wa kwanza kutoka kulia ni Ndugu Joseph Mwaisango ambaye ni mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Blog, Rais wa UTPC Keny Simabaya, pamoja na Felix Mwakyembe .

R.I.P MWANGOSI
Share this article :

+ comments + 1 comments

September 4, 2012 at 7:30 AM

Tunapoelekea ni pabaya sana jamani!!!!!!!!

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger