Home » » WEMA SEPETU NA UTUMIAJI WA MIKOROGO, YADAIWA YAMHARIBIA MUONEKANO WAKE.

WEMA SEPETU NA UTUMIAJI WA MIKOROGO, YADAIWA YAMHARIBIA MUONEKANO WAKE.

Written By Koka Albert on Saturday, June 22, 2013 | 8:39 AM

Matumizi mabaya ya vipodozi yameanza kumuathiri wema Sepetu ambaye ni miss Tanzania 2006. Wema ambaye umri wake bado haujamtupa , hivi sasa anakabiriwa na tatizo la ngozi kutokana na michirizi kusambaa mwili mzima hasa mapajani. 

Kamera zetu si mara ya kwanza kumshuhudia Mrembo huyu akizingirwa na uzee kwani miezi kadhaa nyuma tuliwahi andika habari inayofanana na hii lakini ikielezea zaidi michirizi ya mapajani.

Tofauti na hivyo, hivi sasa michirizi hiyo imekimbilia kifuani na mabegani hali inayoashiria kwamba siku si nyingi itahamia usoni...

"Ukweli Wema Sepetu sasa amebaki sura tu,mwili umemtupa kabisa .Nadhani hii yote inatokana na matumizi mabaya ya mikorogo"...alisema shuhuda mmoja akimtazama Wema sepetu aliyekuwa jaji katika shindano moja la umiss jijini Dar
Baada ya kumsikia shuhuda huyo akimtoa kasoro mrembo huyo, mwandishi wetu alitinga nyumbani kwa Wema Sepetu kufanya naye mahojiano juu ya jambo hili
Alipofika nyumbani hapo, mwandishi wetu aligonga geti na kufunguliwa na dada mmoja ambaye alidai kuwa maadam Wema alikuwa amelala na kwamba hawezi kuamshwa mpaka aamke mwenyewe.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger