Home » » WANAFUNZI WALIPULIWA NA BOMU JIJINI ARUSHA

WANAFUNZI WALIPULIWA NA BOMU JIJINI ARUSHA

Written By Koka Albert on Wednesday, October 31, 2012 | 4:01 AM


Kamanda wa Operesheni Maalumwa Jeshi la Polisi, Peter Mvulla akiwa ameshika bomu la kutoa machozi aloilolichukua kutoka kwa mmoja wa wanafuzi wa Shule ya Sekondari Kimnyaki iliyopo wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha. Bomu hilo lilirushwa kwa wanafunzi hao askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) bila ya kulipuka na kuwaepusha na madhara ambayo yangeweza kutokea.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger