Home » » Mapokezi ya kocha mpya ya Yanga

Mapokezi ya kocha mpya ya Yanga

Written By Koka Albert on Wednesday, July 4, 2012 | 7:41 AM

 
Kocha mpya wa Yanga, Mbelgiji Thom Saintfiet amewasili mida hii Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam na kulakiwa na mamia ya wapenzi wa klabu hiyo. Tazama mapokezi yake tangu anatokea ndani ya Uwanja wa Ndege, hadi akiwa ndani ya gari tayari kwa safari ya Jangwani.










Share this article :

+ comments + 2 comments

July 5, 2012 at 2:44 PM

nice blog~ done follow u 56# follow me back..greeting from Malaysia..!!

July 5, 2012 at 11:03 PM

yo welcome

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger