BBC-Swahili

Sample Text

Habari

Labels

Labels

Social Icons

About Me

My photo
I would like to welcome all the interested people to join the blog and together we help each other to reach our goals.

Featured Posts

Designed by Edservant. Powered by Blogger.

Sample Text

Latest Post

BREAKING NEWS ....NAIBU WAZIRI AFRIKA MASHARIKI APATA AJALI JIONI HII

Written By Koka Albert on Tuesday, August 7, 2012 | 7:06 PM

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhABQMiDFDn92_2t29HUcCWR82ZdudREmd2ECVVcSyp_rlP39QCDrj-s3eysIrvu2vKkOzJOx3x3qeGG8RRzEZnJC7AMlHa4eWHSww0_n6UMLn_YPG6mUNHLnTMKxx5uC_d2-vnG4kocx81/s1600/NAIBU+2.JPG 
Wananchi wakitazama gari la naibu waziri wa Afrika Mashariki
 
 
Mzimu wa ajali kwa wabunge na viongozi wa Taifa umeendelea kushika kasi hapa nchini baada Naibu waziri wa Afrika Mashariki,Abdullah Juma Abdalla Saddallah na familia yake kupata ajali mbaya eneo la Tumbi Kibaha wakati akitoka Bungeni na familia yake.

Ajali hiyo mbaya ilitokea majira ya jioni hii wakati naibu waziri huyo akitokea Bungeni kuelekea jijini D'salaam akiwa na mkewe pamoja na watoto wake wawili na a dereva wake ambaye aliumia vibaya na kukimbizwa hospital yaTumbi-KibahaMashuhuda wa ajali hiyo akiwemno Abdulaziz Video amedai kuwa chanzo cha ajali hiyo inasemekana alikuwa analikwepa Lori alilokuwa akipishana nalo na hivyo gari lake kuhama njia na kupinduka .

Imeelezwa baada ya ajali hiyo umati wa wananchi wakiwemo vibaka walifika eneo hilo kutaka kupora mali mbali mbali ila hawakuweza kufanikiwa baada ya raia wema kusaidia kuepusha hali hiyo .

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Taifa Mohamed Mpinda alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo baada ya kuhojia na mwandishi wa habari hizi na kuwa hali ya naibu waziri huyo si mbaya sana zaidi ya dereva wake ambaye ameumia kichwani."

Taarifa ambayo nimeipata kuwa ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 jioni na tayari nimewasiliana na kamanda wa polisi wa mkoa huo na amekwenda eneo la tukuio"

Cazorla raring to go as Spain midfielder finally completes £16.5m move to Arsenal

Santi Cazorla has revealed he can't wait to get started at Arsenal after completing his £16.5million move.
The 27-year-old Spain international arrives at the Emirates from Malaga as Arsene Wenger shakes up his squad.
Cazorla said: 'I'm so happy to be joining Arsenal. This is a club with great players, a fantastic stadium and huge support.
Already there! Santi Cazorla was already in training with Arsenal in Hennef, Germany on Tuesday
Already there! Santi Cazorla was already in training with Arsenal in Hennef, Germany on Tuesday
Santi Cazorla holds up his new Arsenal shirt after his £16.5million signing was finalised
Santi Cazorla holds up his new Arsenal shirt after his £16.5million signing was finalised
'The club has one of the best managers in football and their style of play is recognised and admired all over the world.

'I'm so excited to be joining one of the greatest teams in Europe and also in the Premier League. I will do my best to help Arsenal challenge for trophies and make all the supporters happy.'
Wenger, who has already signed Lukas Podolski and Olivier Giroud, is delighted to have finally secured Cazorla.

He said: 'Santi Cazorla is a great signing for us. He is a player with good experience at both club and international level, who will add significant quality to our squad.
'He is a versatile, attacking midfield player who can play comfortably on either side of the pitch or centrally. He has good pace, is technically gifted and will be a huge asset to Arsenal Football Club. We are delighted that he is joining us.'

Cazorla is already with Arsenal at their German training camp, where he has been since Monday when his now former employers, Malaga, allowed him leave while the finer points of the deal were eked out by the two clubs.
The tricky midfielder is on course to make his debut against Cologne on Saturday in a bid to slot in with his new side as quickly as possible.

After making his way through the ranks at Villarreal, the 27-year-old earned his first Spanish cap in 2008, and has been part of their title-winning set-up ever since, including their most recent triumph at the European Championships in Poland and Ukraine earlier this summer.
Cazorla seemed at ease with his compatriot and new team-mate Mikel Arteta
Cazorla seemed at ease with his compatriot and new team-mate Mikel Arteta

Means business: Cazorla is hoping he can improve on Arsenal's third place in the Premier LeagueCazorla seemed at ease with his compatriot and new team-mate Mikel Arteta
Means business: Cazorla is hoping he can improve on Arsenal's third place in the Premier League

CUF yataja suluhisho migomo ya walimu

Written By Koka Albert on Monday, August 6, 2012 | 12:09 PM


Geofrey Nyang’oro
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahimu Lipumba amewataka  walimu kuungana na chama hicho kuendesha harakati za kuondoa   CCM madarakani kwa kuwa imeonyesha wazi haina dhamira ya  kutekeleza madai yao.
Profesa Lipumba ambaye pia kitaaluma  ni mtaalamu wa  uchumi alisema chama chake kamwe hakiungi mkono mgomo, lakini kinatambua madai ya walimu na umuhimu wa kuyatatua.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, alisema ingawa katika Ilani ya CCM na hata ahadi  za viongozi wake zilieleza bayana kuwa ingeboresha masilahi ya wafanyakazi, hotuba ya Rais Jakaya Kikwete ya Agosti Mosi mwaka huu inadhihirisha kuwa CCM haina nia hiyo.


“Katika hotuba ya Rais  ya mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu iliyosomwa mbele ya wahariri wa vyombo vya habari Agositi mosi, sehemu ya hotuba inasema madai ya safari hii ni makubwa mno,yametuzidi kimo.Athari za kuyatekeleza yalivyo yataifanya serikali kutumia asilimia 75 kwa ajili ya mishahara”alisema  Profesa Lipumba akinuuu hotuba ya Rais Kikwete na kuongeza:

“Ukiangalia nukuu hizi,zinathibitisha dhana ya serikali ya CCM katika kutekeleza madai ya walimu,Rais hataji serikali ina mpango gani na kwa kiasi gani itatekeleza mipango hiyo,serikali isiyo na mipango kwa vyovyote vile haiwezi kuwatumikia wakulima na wafanyakazi wa nchi yetu”alisema.
“Sisi (CUF) tunawashauri walimu watambua kuwa CCM haipo madarakani kutatua matatizo yao,muhimu walimu wakaungana wote ili kuhakikisha CUF inaongoza dola na kuleta mabadiliko.
Profesa Lipumba alisisitiza kuwa migogoro inayoendelea hapa nchini ni  uthibitisho wa kuwapo kwa ombwe la uongozi uliojikita katika ,usiri, uzembe, dharau na ubabe.
“Inasikitisha kwamba mvutano kati ya serikali na walimu hauishi, mazingira ya kuaminiana katika kutatua mgogoro, serikali ya CCM haiwezi kutatua kero za walimu na kuwapa motisha wa kuboresha elimu kwa watoto wetu”alisema Lipumba.
Msimamo wa CUF kuhusu mgomo
Mwenyekiti huyo wa CUF alisema chama chake ingawa hakiamini kuwa mgogoro unaweza kumalizwa kwa migomo kinaunga mkono madai ya walimu kuwa ni ya haki.
“Pamoja na kuwa (CUF) hakiamini migomo ya wafanya kazi kama suluhisho la kuisha kwa matatizo yao na bila kuingilia maamuzi ya mahakama tunasisitiza kuwa walimu wana madai sahihi na yanapaswa kupewa kipaumbele”alisema.

Alisema walimu wanafanya kazi katika mazingira mgumu wakati serikali ya CCM inayojiita sikivu haijawasikiliza na kutekeleza madai yao zaidi ya kutishia kuwafukuza kazi na kuwakamata baadhi kuhusiana na mgomo.
Alisema chama chake kilitegemea Rais Kikwete angetoa kauli mahsusi ya mpango maalumu wa kushughulikia madai yao lakini imekuwa tofauti baada ya kusema serikali yake haina uwezo wa kutekeleza.

Lipumba alisema majibu ya Rais Kikwete yalijumulisha madai ya ongezeko la mishahara ya walimu na kuwa ongezeko la wafanya kazi wote serikalin ambalo linafanya kufikia asimilia 75 aliyosema haiwezekani.
Athari za mgogoro wa walimu
Katika mkutano huo Profesa Lipumba alisema athari zitokanazo na mgogoro baina ya walimu na serikali ni kubwa zitakazoweza kudhoofisha juhudi za kujinasua kutoka katika  dimbwi la umasikini.

“Kama walimu wataendelea kulipwa namna hii,ina maana ualimu ni wito na si taaluma kama zilivyo taaluma nyingine muhimu, tusishangae kuwa walimu wetu wataendelea kuuza bagia badala ya kufundisha kwa kuwa kipato chao hakitoshi”alisema.


Alisema tayari kumekuwa na athari kuwa nchini za kuporomoka kwa elimu na kwamba hayo ni matokeo ya serikali kushindwa kuboresha mazingira ya elimu ikiwamo mishahara na vitendea kazi.


“Hivi sasa tumepiga hatua katika suala zima la uandikishaji wanafunzi ambapo tumetoka asilimia 51 mwaka 1990 na kufikia asilimia 97 mwaka 2009,lengo la kuandika watoto wote wenye umri wa kuanza darasa la kwanza limefikiwa tatizo ubora wa elimu”alisema Lipumba.


“Utafiti wa uwezo uliofanywa na Taasisi isiyo ya kiserikali umebaini kuwa watoto watano wanaomaliza darasa la saba mmoja kati yao hawezi kusoma hadithi ya ngazi ya darasa la pili, katika kipindi cha miaka saba watoto hao wanaelekea kubaki mbumbumbu (hawajui kusoma wala kuandika)maishani mwao….”alisema Lipumba.


Profesa Lipumba alisema ni muhimu kuboresha elimu ya Msingi ili wanaoingia shule iweze kuwasaidia na kwamba ikiwa hatutafanya hivyo taifa liko hatarini kurejea kwenye elimu ya watu wazima (UPE) kama ilivyokuwa miaka ya 80.


Alisema kukua kwa uchumi wa  kisasa na wenye uwezo kuboresha maisha ya wananchi kunategemea wafanya kazi wenye ujuzi na maarifa na kwamba yote yanatokana na elimu bora.

Hivi karibuni Chama cha Walimu Tanzania (CWT)kilitangaza mgomo wa walimu nchi nzima na usio na ukomo uliodumu kwa siku tatu kabla ya kubatilishwa na mahakama.

9.63 seconds... Legend Bolt retains 100m crown after stunning victory over rival Blake sees him shatter his OWN Olympic record

Fittingly, it was the weekend that celebrated 50 years of Jamaican independence. Here were just 9.63 blistering seconds of it. At the end of the shortest Olympic race in history, two men were quite noticeably independent and away from the rest of the field. There was daylight between Usain Bolt and Yohan Blake, but clear air again between Blake and the chasing pack.

The Jamaicans — friends, training partners at the Racers Club in Kingston, now the fiercest rivals on the track — were out on their own. When it came down to it, however, one Jamaican was simply more independent than the other.

Bolt did it again. He did it as he said he would. As predicted, this was his time. Bolt became the first athlete this century to retain his Olympic 100 metres title, the first since Carl Lewis in 1988. Nobody stays the fastest man in the world for long and there were many who thought Bolt would repeat the brief flickering of many past champions. They were wrong, so very wrong.
*SCROLL DOWN TO WATCH VIDEO OF USAIN BOLT'S VICTORY IN THE 100 FINAL
Simply the best: Usain Bolt crosses the finishing line to win gold in the men's 100 metres final
Simply the best: Usain Bolt crosses the finishing line to win gold in the men's 100 metres final

100m... The final


Having given the field, even the brilliant Blake, a head start, he then accelerated. It was as if Batman had flicked the switch on the Batmobile, the one that sends the machine into warp speed. We almost expected to see an ignition of white-hot flame at Bolt’s tail.

And that is what Bolt is, in essence. A  latter-day superhero. He draped the  Jamaican flag around his shoulders like a Caped Crusader, too, and mimed firing his arrow as if an Olympian of old. He is old, Bolt, yet so very new.

His talent is one of the purest skills of all: the ability to run faster than any other man. But his manner is modern. He knows his place in sport’s galaxy, his status, and what it represents. At the pinnacle stands the heavyweight boxing champion and the world’s fastest man; except Bolt has more personality in his discarded woolly hat than the Klitschko brothers have in a lifetime of  perfect punishing victories. If Bolt were a boxer, even Muhammad Ali’s Greatest status might have been under threat.
He is charismatic, mesmerising. Once he entered the track nobody could take their eyes from him; and then when he started running, blink, and he was gone.

At the Ritzy Cinema in Brixton, Bolt as Batman was further emphasised. Jamaica Day celebrations in the area had segued jubilantly into the main event of the night. On the big screen, The Dark Knight Rises gave way to Bolt and a free showing of the BBC Olympics coverage played to an audience comprising the nearest thing a Jamaican athlete could get to a partisan crowd, so far from his island.

Not that he could have heard them as he sped into history. Not that any athlete could hear much above the cacophony of the  Olympic Stadium. After Britain’s Super  Saturday, this was tagged Supersonic  Sunday, as if any further showbiz hype was required. The fastest men in the world know they are the players of the Olympic meeting without further encouragement. They preen, they strut, they perform for the  cameras, and that is just in the heats.

Dip for the line: Bolt finishes ahead of Yohan Blake (second right) and Justin Gatlin (third right) to win the Olympic gold medal
Dip for the line: Bolt finishes ahead of Yohan Blake (second right) and Justin Gatlin (third right) to win the Olympic gold medal


Lightning Bolt: The Jamaican set a new Olympic record after winning the 100m in a time of 9.63 seconds
Lightning Bolt: The Jamaican set a new Olympic record after winning the 100m in a time of 9.63 seconds
Making his point: Bolt celebrates after crossing the finishing line in first in the 100m final at the London Olympic Games
Making his point: Bolt celebrates after crossing the finishing line in first in the 100m final at the London Olympic Games
History boy: Bolt bathes in the glory of his brilliant victory in London's Olympic Stadium
History boy: Bolt bathes in the glory of his brilliant victory in London's Olympic Stadium

The finalists: (from left) Churandy Martina, Ryan Bailey, Usain Bolt, Justin Gatlin, Yohan Blake, Tyson Gay, Asafa Powell and Richard Thompson
The finalists: (from left) Churandy Martina, Ryan Bailey, Usain Bolt, Justin Gatlin, Yohan Blake, Tyson Gay, Asafa Powell and Richard Thompson

Close call: Bolt did not run away with the race as he had done four years ago in Beijing, with Blake, Gatlin and Gay all running super quick times
Close call: Bolt did not run away with the race as he had done four years ago in Beijing, with Blake, Gatlin and Gay all running super quick times

T.I.D ft Mangwear-Kiuno-official Video


Yanga waingia kambini, kujazwa noti leo

Written By Koka Albert on Saturday, August 4, 2012 | 4:34 AM

WACHEZAJI wa Yanga, leo watakabidhiwa 'mzigo' wao ikiwa ni shukurani yao kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame, michuano iliyomalizika jijini Dar es Salaam.

Yanga ilitwaa ubingwa wa Kombe la Kagame na kuzawadiwa Sh47mil ambazo zitagawanwa kwa wote walioshiriki kuleta ubingwa huo kwa mwaka wa pili mfululizo.

Msemaji wa Yanga, Luis Sendeu alisema jana kuwa wachezaji hao watapewa fedha hizo baada ya kukamilika kwa mchakato wa nani atapata nini.

Katika hatua nyingine, wachezaji wa Yanga wataanza mazoezi yao leo asubuhi kwenye Uwanja wa Kaunda ya kujiandaa na mechi za Ligi Kuu na zile za BankABC baada ya mapumziko ya siku tano ya Michuano ya Kagame.

Sendeu alisema kuwa baada ya mapumziko hayo wachezaji pamoja na benchi zima la ufundi la timu hiyo watajikita zaidi katika hatua nyingine ya mazoezi ya timu hiyo ya kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu.

"Kikosi chetu kesho (leo) kinaanza tena mazoezi yake yake ya kujiandaa na Ligi Kuu kufatia benchi letu la ufundi kuwapa wachezaji wiki moja ya mapumziko mara baada kumalizika kwa michuano ya Kagame.

Katika hatua nyingine, wachezaji wa kikosi hicho Nurdin Bakari pamoja na Salum Telela wataendelea kuwa kando na kikosi hicho kutibu majeraha yao ya muda mrefu baada ya kuumia wakijiandaa na Kombe la Kagame.

Mahakama yapiga ‘stop’ mgomo wa walimu

Written By Koka Albert on Friday, August 3, 2012 | 2:52 AM


Rais wa Chama cha Walimu Tanania (CWT), Gratian Mukoba akiwa ameambatana na baadhi ya walimu wakati wakitoka Mahakama kuu, kitengo cha kazi jijini Dar es Salaam jana kusikiliza maamuzi ya mahakama hiyo kuhusu kesi yao dhidi ya Serikali. Mahakamama ilisitisha mgomo wa walimu ikidaiwa kuwa ni batili. Picha na Venance Nestory
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Kazi imesitisha mgomo wa walimu na kuwataka kurudi kazini mara moja.
Mahakama hiyo pia imeuagiza uongozi wa Chama cha Walimu (CWT) kuandaa taarifa kwa umma, kutangaza kusitishwa kwa mgomo huo kama walivyowatangazia wanachama wake wakati ulipoanza.

Mahakama hiyo ilisitisha mgomo huo jana wakati ilipotoa uamuzi wa maombi yaliyowasilishwa mahakamani na Serikali. Jaji Sophia Wambura aliyekuwa akisikiliza maombi hayo, alisema mgomo huo ni batili kwa kuwa haukukidhi masharti ya Sheria ya Ajira na Uhusiano Kazini.

Katika uamuzi wake, mahakama hiyo pia imekitaka CWT kulipa hasara za kifedha au kuwafidia wanafunzi vipindi vya masomo walivyovikosa, hususan wale wa darasa la saba. Mahakama hiyo ilikwenda mbali zaidi na kuwaonya walimu na Serikali kwa kitendo cha kuzungumzia suala hilo wakati tayari lilikuwa mahakamani.

Jaji Wambura alisema kitendo hicho ni uvunjaji wa Ibara ya 4 na ya 107 A ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya  mwaka 1977 kama ilivyokwisha kurekebishwa mara kadhaa.

“Vinginevyo, hakukuwa na haja ya kuja hapa mahakamani kabisa. Kama kila mmoja ataachwa awe jaji, itakuwa ni kero na uvunjaji wa utawala wa sheria,” alisema Jaji Wambura.

Jaji huyo alizitaka pande zote kurudi kwenye meza ya mazungumzo na kushauri kuwa, ikiwezekana zialike watu wenye ujuzi wa masuala ya sheria za kazi na uhusiano kazini kuwasaidia ili kufikia makubaliano kwa  amani.

“Chini ya Masharti ya Kifungu cha 81 (1) (2) cha Sheria ya Ajira na Uhusiano Kazini, natamka kuwa mgomo ambao umekuwa ukiendelea kwa siku tatu sasa ni kinyume cha sheria. Ninaamuru usitishwe na walimu wote warudi kazini mara moja,” aliagiza Jaji Wambura.

Msingi wa uamuzi
Jaji Wambura alirejea hoja zilizowasilishwa na pande zote, waombaji wakiwakilishwa na Mawakili wa Serikali Wakuu, Obadia Kameya na Pius Mboya na wajibu maombi (CWT) wakiwakilishwa na Wakili Gabriel Mnyele.

Alisema baada ya kupitia hoja zote na vielelezo vilivyoambatanishwa kwenye hati za viapo pamoja na majibu husika, amebaini kuwa na kuridhika kuwa mgomo huo haukufuata sheria.

Alisema CWT hawakufuata masharti ya kifungu cha 80 (1), cha Sheria ya Ajira na Uhusiano Kazini na kwamba kulikuwa na dosari kwani kura zilizopigwa zilipotosha wanachama , kwa sababu hazikuwa za kuunga mkono mgomo, bali madai ya walimu.

Jaji huyo alisema upigaji kura ulikuwa ni batili kwani walimu hawakufahamishwa matokeo ya mgomo huo na kwamba haukuzingatia taratibu.

Pia alisema taarifa ya mgomo iliyowasilishwa kwa Katibu Mkuu Kiongozi Julai 27, 2012 saa 9:00 alasiri wakati mchakato wa upigaji kura ukiwa unaendelea, pia ilikuwa ni batili.

Dosari nyingine ni kutoeleza kikomo cha mgomo na kutokubainisha kama watawalipa wanachama wake wakati wa mgomo.

Aliongeza kwamba, CWT kwa kushindwa kutimiza masharti ya kanuni ya 42 na 43 za sheria husika, kulisababisha kero zisizo za lazima.

Alisisitiza kuwa kitendo cha CWT kuwasilisha taarifa ya mgomo Ijumaa saa 9:00  wakidai  mgomo unaanza Jumatatu, hali wakijua kuwa Jumamosi na Jumapili hazikuwa siku za kazi, ni kinyume cha kanuni na kilifanywa kwa nia mbaya.

Wakili wa CWT, Mnyele alisema anasubiri maelekezo ya wateja wake, lakini Rais wa CWT, Gratian Mukoba alisema watatoa tamko leo.

Mgomo waendelea
Katika baadhi ya shule za Dar es Salaam jana mgomo uliendelea na kusababisha wanafunzi kadhaa kuonekana wakizurura mitaani.

Shule hizo zimo za sekondari na  msingi ambazo ni Mchangani, Mwananyamala Kisiwani, Kunduchi, Pius Msekwa, Pwazo, Pwani, Mtakuja, Mtongani na Kisauke katika manispaa ya Kinondoni.

Walimu walioonekana maeneo ya shule hizo walikuwa wachache huku wanafunzi nao wakionekana wakisambaa hovyo katika maeneo ya shule.

Baadhi ya wanafunzi walikiri kwamba mahudhurio yao pia yamezorota.

Mwalimu Mkuu Msaizi wa Shule ya Msingi Mwananyamala Kisiwani, Abwalib Mfinanga alisema; “Kama unavyoona, walimu hawaingii madarasani kufundisha kutokana na mgomo unao endelea.”

Katika Manispaa ya Temeke baadhi ya wanafunzi wa darasa la saba walisikika wakilalamika kutotendewa haki.

“Walimu wetu wamesoma na sisi tunataka tuwe kama wao, tunawaomba  watufundishe  ili tuweze kufikia kiwango kama chao,” alisema mwalimu Alfred Mwinuka.

Katika shule ya Msingi Amani wanafunzi walionekana wakicheza katika viwanja vya michezo na  wakati katika shule ya Msingi ya Dovya, baadhi ya madarasa yalikuwa yamefungwa huku baadhi ya  wanafunzi wakiwa wamezagaa nje.

Mwanafunzi Saleh Juma alisema kuwa jana ni mwalimu mmoja tu aliyeingia darasani, na baada ya muda mfupi aliondoka. Mwalimu Mkuu peke yake ndio tunamuona akipita madarasani,” alisema Saleh.
KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger