KOCHA wa Yanga, Enerst Brandts amewataka wachezaji wake Nurdin Bakari na
Juma Seif kubadilika huku akifunga milango kwa beki Shadrack Nsajigwa.
Brandts alisema haridhishwi na kiwango cha Nurdin na Seif Kijiko kwa sasa na kuweka bayana kwamba Nsajigwa hana nafasi kwenye kikosi chake.
Brandts alisema haridhishwi na kiwango cha Nurdin na Seif Kijiko kwa sasa na kuweka bayana kwamba Nsajigwa hana nafasi kwenye kikosi chake.
Wanatakiwa kubadili uchezaji wao ili wapate nafasi kwenye kikosi cha kwanza,îalisema kocha huyo.
Kuhusu hatma ya beki Nsajigwa ëFusoí aliachwa kwenye safari ya Kanda ya Ziwa, Brandts alisema sijaona kiwango chake, sijaona umuhimu wa yeye kuja huku, hapa nipo na wachezaji 20.
Tangu kuanza msimu huu Nsajigwa ameshindwa kupata namba ya kudumu kwenye kikosi cha Yanga baada ya kuwajiliwa kwa Mbuyu Twite na Juma Abdul.
Hivi karibuni Nsajigwa alikaririwa na vyombo vya habari akisema Yanga imesajili vijana wengi wazuri ndio maana amekosa namba kwenye kikosi hicho.
Kuhusu hatma ya beki Nsajigwa ëFusoí aliachwa kwenye safari ya Kanda ya Ziwa, Brandts alisema sijaona kiwango chake, sijaona umuhimu wa yeye kuja huku, hapa nipo na wachezaji 20.
Tangu kuanza msimu huu Nsajigwa ameshindwa kupata namba ya kudumu kwenye kikosi cha Yanga baada ya kuwajiliwa kwa Mbuyu Twite na Juma Abdul.
Hivi karibuni Nsajigwa alikaririwa na vyombo vya habari akisema Yanga imesajili vijana wengi wazuri ndio maana amekosa namba kwenye kikosi hicho.
Nimewapisha
vijana waweze kucheza kwani wanaonyesha uwezo mzuri, naamini kwa kikosi
tulichonacho tutafanya vizuri zaidi kwenye ligi,î alisema Nsajigwa.
Post a Comment