Home » » SIMBA YAVUTWA SHATI NA WAKATA MIWA WA KAGERA NA KULAZIMISHWA SARE YA GOLI 2 KWA 2

SIMBA YAVUTWA SHATI NA WAKATA MIWA WA KAGERA NA KULAZIMISHWA SARE YA GOLI 2 KWA 2

Written By Koka Albert on Wednesday, October 17, 2012 | 10:48 PM


 Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akishangilia bao la kwanza aliloifungia timu yake dhidi ya Kagera Sugar wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.
 Beki wa Kagera Sugar, Salum Kanoni (kushoto) akichuano na mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi
Kiungo wa Kagera Sugar, Malegesi Mwangwa akichuana na mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngassa
Beki wa Kagera Sugar, Amandus Nesta akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Simba, Amir Maftah katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger