Home » » WASHINDI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2012 WAPATIKANA

WASHINDI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2012 WAPATIKANA

Written By Koka Albert on Wednesday, October 17, 2012 | 10:40 PM


 Mshindi wa kwanza wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2012 Sista Martha Mwasu kutoka mkoani Dodoma (kushoto) akiwa na zawadi baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula, 2012. Katikati ni mshindi wapili kutoka mkoani Kagera Bi. Emiliana Eligaesha, kulia ni Naibu Waziri Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Mh. January Makamba.
 Washindi watatu bora kwenye shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2012 kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Mh. January Makamba wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2012.
 Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa Oxfam Bi. Monica Gorman akimpongeza mshindiwa kwanza wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula Sista Martha Mwasu kutoka mkoani Dodoma wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula 2012.
   Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Imani Kajula akiwapongeza washiriki wa Mama Shujaa wa Chakula 2012 wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi mashindano la Mama Shujaa wa Chakula 2012.
Washiriki wa shindano la Mama wa Shujaa wa Chakula 2012 wakiwa zawadi walizokabidhiwa na Benki ya NMB baada ya shindano hilo
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger