Home » » NSSF YAWAFIKIA WASANII WA FILAMU TANZANIA

NSSF YAWAFIKIA WASANII WA FILAMU TANZANIA

Written By Koka Albert on Wednesday, October 17, 2012 | 10:44 PM


 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cricentus Magori akizungumza wakati wa uzinduzi wa vikundi na kulathimisha na kukabidhi kadi kwa wanachama za NSSF wanachama wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) pamoja na kutoa Cheti kwa Shirikisho hilo.
Meneja Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume akizungumza na wasanii wa Filamu Tanzania. 
 Meneja Matibabu wa Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) akizungumza katika hafla ya kutoa kadi kwa wasanii wa Filamu Tanzania
 Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba akizungumza katika hafla hiyo.
 Wasanii mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo
 Wasanii waliohudhuria hafla hiyo wakijisomea jarida la NSSF kujua faida za kujiunga na mfuko huo
 Baadhi ya wasanii waliohudhuria hafla hiyo
 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cricentus Magori akimkabidhi cheti cha kujiunga na NSSF, Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba. Kushoto ni Mkurugenzi wa Liro, Suleiman Ling'ande. 
 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cricentus Magori akimkabidhi msanii wa Filamu, Steven Nyerere kadi ya Uanachama wa NSSF
 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cricentus Magori akimkabidhi msanii wa Filamu, Anne Costantine 'Waridi' kadi ya Uanachama wa NSSF
  Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cricentus Magori akimkabidhi msanii wa Filamu, Mahsein Awadh 'Dk. Cheni' kadi ya Uanachama wa NSSF
  Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cricentus Magori akimkabidhi msanii wa Filamu, Jacob Steven kadi ya Uanachama wa NSSF
 Baadhi ya wasanii wa Filamu wakipata baada ya kujiunga na NSSF
 Ofisa Uendeshaji wa NSSF, Kiamba Rajabu akitoa maelezo kwa wasanii wa Filamu waliokuwa wakijaza fomu za kujiunga na NSSF
 Baadhi ya wasanii wakisubiri kujiandikisha uanachama wa NSSF
 Ofisa Uendeshaji wa NSSF, Kiamba Rajabu (kulia) akitoa maelezo kwa wasanii wa Filamu waliokuwa katika hatua za kujiunga na NSSF
Ofisa Uendeshaji wa NSSF, Kiamba Rajabu akitoa maelezo ya jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na NSSF  kwa wasanii wa Filamu Tanzania.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger