Wakati watanzania wakiwa kwenye majonzi makubwa kwa kuondokewa na kipenzi Steven Kanumba .Usiku wa kuamkia leo majira ya saa 6 msanii kutoka THT Barnabas amepata mtoto wa kiume na ili kumuenzi Kanumba ameamua kumpa mtoto wake jina la Steven Kanumba
Home »
» BARNABA APATA MTOTO WA KIUME NA KUMPA JINA LA STEVEN KWA KUMUENZI KANUMBA
Post a Comment