Home » » NASSARI MBUNGE MPYA ARUMERU MASHARIKI

NASSARI MBUNGE MPYA ARUMERU MASHARIKI

Written By Koka Albert on Monday, April 2, 2012 | 12:26 AM

   

"Moja ya Usiku Mzuri sana kwenye Historia ya chama chetu. Tumeshinda Madiwani mikoa yote nyeti na zaidi tumeshinda Ubunge Arumeru. Hakuna raha kwenye siasa kama kuongeza Mbunge katikati ya kipindi cha Bunge. Twamshukuru mola. Hongera viongozi wenzangu na wanachama wetu na watanzania kwa ujumla kwa kutupa nguvu. Its a 'snow ball effect' ! Watch our steps" Anasema Zitto Kabwe.
Hatimae Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Arumeru Mashariki, Trasias Kagenzi amemtangaza Joshua Nassari, mgombea wa CHADEMA kuwa Mbunge halali wa Jimbo la Arumeru Mshariki kwa kupata jumla ya kura 32,972
Aliemfuatia  Nassari ni Sioi Summari wa CCM, aliepata kura 26,757
Jumla ya kuza zilizopigwa ni 60,038, na kura zilizoharibika ni 661.
Wagombea wa vyama vingine wamepata kura kama ifuatavyo: AFP – 139, UPDP – 18, TLP – 18, SAU – 22, NRA – 35, na DP – 77.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger