Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond alifunika vilivyo ndani ya Dar live baada ya kuingia kwa staili ya aina yake akiwa amevalia mavazi kama Askari.
Kwa wale wanaomjua Jamaa huyu,,show aliyopiga haikuwa ya kitoto.,,,,,aliamba sana,,,,,Big up Diamond
Post a Comment