Home » » KICHANGA CHATUPWA KWENYE DAMPO LA TAKATAKA MTAA WA SOWETO JIJINI MBEYA

KICHANGA CHATUPWA KWENYE DAMPO LA TAKATAKA MTAA WA SOWETO JIJINI MBEYA

Written By Koka Albert on Friday, June 8, 2012 | 3:50 AM


Kichanga kikiwa kimetupwa katika Dampo la takataka mtaa wa Soweto jijini Mbeya.
Baadhi ya akina Mama na watu wengine waliofika eneo hilo kutazama kichanga hicho ambapo Mama Mzazi hajafahamika mpaka sasa. Hata hivyo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi.
Share this article :

+ comments + 1 comments

June 11, 2012 at 12:07 AM

Mama kuweni na huruma aiseeeeee. Kama hamuwezi kulea hakuna haja yavkubeba mimba

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger