Gari inayofanya safari zake kutoka tabora kuelekea arusha NBS IMEANGUKA NUSU KM KUINGIA NZEGA MJINI. Chanzo cha ajali tairi ya mbele imepasuka na mwendo kasi. Tutazidi kuwaabarisha kadri tunavyopata habari mpya za tukio hilo,,,,
Home »
» Ajali mbaya gari la NBS imetokea
Post a Comment