Kwa habari zilizoifikia Blog hii ni kwamba Mbunge wa Jimbo la Ubungo John Mnyika (Chadema) amemshinda tena Hawa Ngh’umbi (CCM) baada ya Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kutoa hukumu kuwa ushindi wa Mbunge Mnyika uliofanyika Oktoba 31, 2010 ulikuwa wa halali.Kwa taarifa zaidi ungana nasi baadaye.
+ comments + 1 comments
Haki imetendeka
Post a Comment