Home » » Machafuko yatokea zanzibar

Machafuko yatokea zanzibar

Written By Koka Albert on Sunday, May 27, 2012 | 3:47 AM

Baadhi ya wananchi wa Zanzibar kwenye kisiwa cha Unguja, wameandamana kupinga muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar inayopelekea kua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Maandamano hayo yameleta mchafuko unaoendelea Zanzibar, huku ikisababisha wakazi wengi wa Unguja kujifungia majumbani mwao wakihofia usalama wao,huku biashara nyingi zikisimama pamoja na uharibifu wa mali. Polisi katika kisiwa hicho wanaendelea kufanya jitihada kutulizza ghasia hizo.

Zanzibar 9
Zanzibar Burning 
FFU Police in Zanzibar
kanisa lililochomwa Zanzibar 
Gari likiwa linateketea moto katika michafuko Zanzibar
Tutazidi kuwahabarisha yatakayojiri.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger