Ndani ya ngoma hiyo ambayo zitasikika sauti za wabunge hao tu kutakuwa na ujumbe wa kuhamasisha vijana na maisha ya sasa na pia kuwapa changamoto ambazo zitaweza kuwasaidia kupambana na maisha yanayoendelea duniani,japo taarifa kamili sikuweza kupata ni wapi ngoma hiyo inafanyika na lini pia itatoka lakini shabiki wa muziki pamoja na wewe kijana kaa mkao wa kuipokea ngoma hiyo!
Home »
» NYIMBO MPYA YA ZITTO KABWE,HALIMA MDEE,JANUARY MAKAMBA,VICKY KAMATA NA ESTER BURAYA!!.
NYIMBO MPYA YA ZITTO KABWE,HALIMA MDEE,JANUARY MAKAMBA,VICKY KAMATA NA ESTER BURAYA!!.
Written By Koka Albert on Friday, May 18, 2012 | 12:16 AM
Wabunge machachari kabisa pale mjengoni ambao ndio vijana wanaotutetea kama walivyotajwa hapo juu wako studio tayari kwa kuachia ngoma ambayo nahisi itakuja kubamba vilivyo.
+ comments + 1 comments
Nimependa sana kwani mnapost habari za ukweli sana
Post a Comment