Home » » Bastola ya Wema yazua balaa!!!!!

Bastola ya Wema yazua balaa!!!!!

Written By Koka Albert on Monday, March 5, 2012 | 12:51 AM

Musa Mateja na Erick EvaristHABARI kuwa Wema Isaac Sepetu anadaiwa kumiliki bastola, zimezua balaa kwa mastaa hivyo kumuogopa kama ukoma wakihofia usalama wao. Mlimbwende huyo aliyekuwa Uarabuni kimatanuzi hivi karibuni, amewafunga midomo mastaa wa kike Bongo wanaopenda bifu naye kwani kwa sasa wanamgwaya baada ya kusambaa kwa habari kuwa ana kifaa hicho.
“Kwa taarifa yenu, mkiendelea kumchezea Wema itakula kwenu, sasa hivi ana mguu wa kuku (bastola), kajiimarisha vilivyo kiulinzi, labda ni kwa sababu anakaa mwenyewe ‘so’ inamsaidia kujilinda,” kisema chanzo hicho.

Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger