Home » » Lowassa atoboa siri ugonjwa wake

Lowassa atoboa siri ugonjwa wake

Written By Koka Albert on Thursday, March 15, 2012 | 11:48 PM

Boniface Meena
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amerejea nchini kutoka Ujerumani alikokwenda kwa matibabu na kuzungumzia afya yake akisema anasumbuliwa na ugonjwa wa macho,na kujitutumua kwa kukunja ngumi huku akitamba kuwa yuko tayari kwa mapambano.

Tangu mwanasiasa huyo alipondoka nchini kimya kimya wiki kadhaa zilizopita kwenda Ujerumani kwa matibabu, suala la afya yake limezua gumzo na kuibua mijadala kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, huku baadhi ikidai hali ni mbaya.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger