
Boniface Meena
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amerejea nchini kutoka Ujerumani alikokwenda kwa matibabu na kuzungumzia afya yake akisema anasumbuliwa na ugonjwa wa macho,na kujitutumua kwa kukunja ngumi huku akitamba kuwa yuko tayari kwa mapambano.
Tangu mwanasiasa huyo alipondoka nchini kimya kimya wiki kadhaa zilizopita kwenda Ujerumani kwa matibabu, suala la afya yake limezua gumzo na kuibua mijadala kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, huku baadhi ikidai hali ni mbaya.
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amerejea nchini kutoka Ujerumani alikokwenda kwa matibabu na kuzungumzia afya yake akisema anasumbuliwa na ugonjwa wa macho,na kujitutumua kwa kukunja ngumi huku akitamba kuwa yuko tayari kwa mapambano.
Tangu mwanasiasa huyo alipondoka nchini kimya kimya wiki kadhaa zilizopita kwenda Ujerumani kwa matibabu, suala la afya yake limezua gumzo na kuibua mijadala kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, huku baadhi ikidai hali ni mbaya.
Post a Comment