CHUO Kikuu Huria Tanzania (OUT) kimeingia katika kashfa nzito ya wizi wa mamilioni ya shilingi, imefahamika
Fedha zinazotajwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha ni zaidi ya Sh. 800 milioni. Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa kati ya kiasi hicho, Sh. 500 milioni ziliibwa katika idara ya malipo ya mishahara iliyokuwa ikiongozwa na Angelus Mlekaria.
Fedha kiasi kingine zaidi ya Sh. 300 milioni imeelezwa kuwa zimepotea mikononi mwa James Rweikiza, aliyekuwa mhasibu na mkuu wa kitego cha mikopo ya wanafunzi wanaojiunga na chuo hicho.
Post a Comment