Home » » Wizi wa kutisha Chuo Kikuu Huria

Wizi wa kutisha Chuo Kikuu Huria

Written By Koka Albert on Wednesday, March 21, 2012 | 7:11 AM

CHUO Kikuu Huria Tanzania (OUT) kimeingia katika kashfa nzito ya wizi wa mamilioni ya shilingi, imefahamika

Fedha zinazotajwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha ni zaidi ya Sh. 800 milioni. Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa kati ya kiasi hicho, Sh. 500 milioni ziliibwa katika idara ya malipo ya mishahara iliyokuwa ikiongozwa na Angelus Mlekaria.

Fedha kiasi kingine zaidi ya Sh. 300 milioni imeelezwa kuwa zimepotea mikononi mwa James Rweikiza, aliyekuwa mhasibu na mkuu wa kitego cha mikopo ya wanafunzi wanaojiunga na chuo hicho.
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger