Home » » MAELFU WAJITOKEZA KUMPOKEA PROF LIPUMBA AKITOKEA MAREKANI

MAELFU WAJITOKEZA KUMPOKEA PROF LIPUMBA AKITOKEA MAREKANI

Written By Koka Albert on Monday, March 12, 2012 | 2:41 AM

 
 
 
 
Waziri wa Afya wa serikali ya kitaifa Zanzibar,  Juma Duni Haji (kulia)akisalimiana na Mwawakilishi wa chama hicho.
  Afande ele (Kushoto) akitoa burudani katika mapokezi hayo.

MWENYEKITI  wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim  Lipumba, amewasili jana akitokea nchini Merekani na kupata mapokezi ya kihistoria 


Prof Limbumba alikuwa akirejea kutoka Merekani ambako alienda kujadili hali ya uchumi duniani.  Maelfu ya wanachama na wakereketwa wa chama hicho walijitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam ambapo waliyafunika karibu maeneo yote ya uwanja huo kwa ndani na nje. 

Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger