Na Richard Bukos
INASIKITISHAJE? Wakati wenzao wakijituma kufanya kazi ili kusukuma mbele gurudumu la maisha, akina mama wenye umri uliosogea, ambao ni mama zetu, wamenaswa laivu wakifanya biashara haramu ya kuuza miili yao.
WANASWA ENEO LA WAZI
Katika oparesheni iliyoendeshwa na jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita, akina mama hao walitiwa nguvuni baada ya kukutwa wakijiuza katika eneo la wazi, Buguruni Kimboka jijini Dar es Salaam.
Majina ya wanawake hao na umri wao katika mabano ni Sauda Mussa (52), Jacqueline Francis (40), Laurencia Rafael (40) na Grace Robinson (40).
INASIKITISHAJE? Wakati wenzao wakijituma kufanya kazi ili kusukuma mbele gurudumu la maisha, akina mama wenye umri uliosogea, ambao ni mama zetu, wamenaswa laivu wakifanya biashara haramu ya kuuza miili yao.
WANASWA ENEO LA WAZI
Katika oparesheni iliyoendeshwa na jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita, akina mama hao walitiwa nguvuni baada ya kukutwa wakijiuza katika eneo la wazi, Buguruni Kimboka jijini Dar es Salaam.
Majina ya wanawake hao na umri wao katika mabano ni Sauda Mussa (52), Jacqueline Francis (40), Laurencia Rafael (40) na Grace Robinson (40).
+ comments + 2 comments
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh sio mchezo mdau yani kama mama zetu wamefikia huko basi the world is up.
Yah men,,we have to pray sana maana kila kitu nowdays kinakuwa maajabuu,,,kila siku tukio jipya,,,,take care
Post a Comment