Msanii kutoka THT mzee wa "Milele Daima, Wrong Number & Magube gube etc. anaejulikana kama Barnaba ambae siku chache zilizopita aliweka wazi kuhusu mahusiano yake yeye na mpenzi wake na kusema kua anatarajia kupata mtoto sasa muda umewadia baada ya Mpenzi wake msanii huyo kukimbizwa katika Hosptali ya Aghakan pale alipoanza kuzidiwa.
http://www.teentz.com/profiles/blogs/breaking-news-barnaba-anategemea-kupata-mtoto-muda-wowote-kwanzia
Home »
» Barnaba anategemea kupata mtoto muda wowote kwanzia sasa
Post a Comment