KUNDI la wachekeshaji la Orijino Komedi linaloundwa na mastaa, Emmanuel Mgaya ‘Masanja’, Lucas Mhuvile ‘Joti’, Joseph Shamba ‘Vengu’, Slivery Mujuni ‘Mpoki’, Alex Chalamila ‘MacRegan’ na Isaya Mwakilasa ‘Wakuvwanga’ chini ya Sekioni David ‘Seki’, linadaiwa kwisha huku kila mmoja akijiingiza katika fani nyingine ili kujipatia mkate wa siku.
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/orijino-komedi-kwisha
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/orijino-komedi-kwisha
+ comments + 1 comments
Jamani is it because of VENGU kuumwa au? wanasikitisha hawa watu?
Post a Comment