CBH- Nina furaha sana kwa haya yote ,kuwa chini ya lebo ya FLAVE MUSIC AFRICA (FMA) na pia kufanya kazi na msanii kutoka nchi nyingine .B SKILLS kaja bongo kutoka Nigeria tu kwaajili ya project yangu mpya,kazipenda kazi zangu ,mtindo wangu na video yangu.
B Skills (Bayo Coker) msanii kutoka Abuja,Nigeria kaingia jana ijumaa(2/Feb) Dar es salaam tayari kwa kupiga kazi ngoma mpya na CBH kwenye nyimbo yake mpya ambao utakuwa katika style ya SAMPA.
Post a Comment