Home » » Walimu wapya waonja joto ya jiwe

Walimu wapya waonja joto ya jiwe

Written By Koka Albert on Thursday, March 1, 2012 | 11:23 PM

•  Wanyimwa fedha za kujikimu, wagoma kufundisha

MAISHA ya walimu wapya walioajiriwa hivi karibuni na kupangiwa vituo vya kazi sehemu mbalimbali nchini, yanaendelea kuwa magumu baada ya serikali kushindwa kuwalipa fedha zao za kujikimu tangu waliporipoti.
Malalamiko ya walimu hao yamekuwa yakisikika takriban kutoka mikoa yote nchini, ambapo mbali na fedha za kujikimu, hawajalipwa pia mshahara wa Februari mwaka huu na fedha za kusafirisha mizigo.
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=33514
Share this article :

Post a Comment

KARIBU KATIKA WEBSITE YA KIJANJA, KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA NDANI NA NJE YA NCHI. PIA UTAPATA MAMBO YA ACADEMIC. KARIBU SANA
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. GetInformedTz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger