• Wanyimwa fedha za kujikimu, wagoma kufundisha
MAISHA ya walimu wapya walioajiriwa hivi karibuni na kupangiwa vituo vya kazi sehemu mbalimbali nchini, yanaendelea kuwa magumu baada ya serikali kushindwa kuwalipa fedha zao za kujikimu tangu waliporipoti.
Malalamiko ya walimu hao yamekuwa yakisikika takriban kutoka mikoa yote nchini, ambapo mbali na fedha za kujikimu, hawajalipwa pia mshahara wa Februari mwaka huu na fedha za kusafirisha mizigo.
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=33514
Home »
» Walimu wapya waonja joto ya jiwe
Post a Comment